Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

DRC: Wanajeshi wanaodaiwa kutoroka adui kwenye mapambano wahukumiwa

Informações:

Sinopsis

Miongoni mwa yale utakayosikia katika makala ya wiki hii ni pamoja na hatua ya Rais wa Kenya William Ruto kuzungumza na wapiga kura kwa njia ya mtandao wa X, wanajeshi waliotoroka adui DRC kuhukumiwa na vilevile mkutano wa nchi za Sahel zinazoongozwa na wanajeshi.