Jukwaa La Michezo

Shirikisho la soka barani Afrika CAF latangaza droo ya michuano ya kufuzu AFCON 2025

Informações:

Sinopsis

Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa droo ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya mwaka 2025, fainali ya Cosafa Cup, mipango ya Team Kenya kuelekea Olimpiki ya mwaka huu, uchambuzi wa mechi za robo fainali michuano ya Euro na Copa America, raia wa Eritrea Girmay Hailu Biniam ashinda hatua ya nane ya Tour de France wakati kocha wa Manchester  United Erik ten Hag aongeza mkataba wake.