Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Michezo ya olimpiki yaanza Paris Ufaransa, Siasa za Kenya, DRC na kwengineko

Informações:

Sinopsis

Makala imeangazia hafla ya ufunguzi wa michezo ya Olimpiki ya Paris siku ya Ijumaa ya wiki hii, huku miundombinu ya treni za umeme ikishambuliwa, rais William Ruto atangaza baraza la mawaziri akiwajumuisha wanasiasa wanne wa upinzani, kesi dhidi ya kiongozi wa muungano wa waasi Corneille Nangaa jijini Kinshasa nchini DRC, Maandamano na kukamatwa kwa vijana kule Uganda, siasa za Afrika Magharibi, na Kaskazini,Joe Biden ajijiondoa katika ki nyang’anyiro cha uchauguzi huku Kamala Harris  akiteuliwa kuwa mgombea wa chama cha Demokratic nchini Marekani.