Habari Rfi-ki

Mtazamo wa msikililizaji kuhusu maandamano Kenya iwapo yameathiri nchi zingine

Informações:

Sinopsis

Vijana nchini Kenya wamekuwa wakiongoza maandamano dhidi ya serikali ya rais William Ruto Nchi ya Uganda imeshuhudia pia maandamano ,yanayoongozwa na vijana wa Gen Z kupinga ufisadi na maovu mengine