Habari Rfi-ki
Sudan : Kiongozi wa kijeshi asema yuko tayari kwa vita na hatashiriki mazungumzo ya amani
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:44
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika makala haya tunajadili hatua ya kiongozi wa kijeshi nchini Sudan, kusema hataki mazungumzo yoyote yatayohusisha wapiganaji wa RSF, akisema jeshi liko tayari kupigana hata kwa miaka 100. Matamshi yake yamekuja wakati huu Marekani ikiongoza juhudi za kupata mwafaka wa mani kati yake na vikosi vya RSF.