Habari Rfi-ki

Sudan : UN yatathimini kutangaza vikwazo dhidi ya majenerali wa Sudan

Informações:

Sinopsis

Katika makala haya tunajadili hatua ya umoja wa mataifa kusema unatathimini kutangaza vikwazo dhidi ya majenerali wawili nchini Sudan ambao wamekuwa kwenye vita kwa zaidi ya miezi 17. Je unafiriki kutangazwa kwa vikwazo dhidi ya majenerali wa Sudan kutasitisha vita nchini Sudan? Unahisi jumuiya ya kimataifa imesaidia, kutatua mizozo Africa, ndio maswali tumekuuliza. Haya hapa baadhi ya maoni yako.