Habari Rfi-ki

Kenya : Mataifa ya Africa yakosa kuzingatia katiba

Informações:

Sinopsis

Kwenye makala ya Habari Rafiki leo tunajadili kilichofanyika nchini Kenya, ambapo taifa hilo la Africa mashariki limeadimisha miaka 14 tangu lijipatie katiba ya mwaka 2010, ila imekuwa vigumu kwa serikali kutekeleza baadhi ya vipengee vya katiba hiyo. Unafiriki nini huzuia serikali yetu kuttotekeleza  katiba?Ndilo swali tumekuuliza, na haya maoni yako.