Habari Rfi-ki

Africa : Ndoa zinaendelea kuvunjika haraka kinyume na awali

Informações:

Sinopsis

Katika makala haya tunajadili misururu ya kuvunjika kwa ndoa za siku hizi  hili haliathiri tu watu wa kawaida  bali pia  watu maarufu katika jamii zetu. Je unafikiri nini kinachangia ndoa za siku hizi kuendelea kuvunjika haraka kinyume na zamani?Ndilo swali tumekuuliza, na haya hapa baadhi ya maoni yako.