Habari Rfi-ki

Kikao cha usalama wa DRC na Sudan chakamilika Ethiopia bila suluhu

Informações:

Sinopsis

Makala ya leo yanaangazia Kikao cha viongozi wa Afrika, kilichotamatika rasmi mwishoni mwa juma lililopita nchini Ethiopia, mzozo wa DRC na Sudan ukigubika mijadala yao.Hata hivyo vikao hivyo  vimekamilika  bila suluhu ya mizozo ya nchi zote mbili, ambapo vyongozi  waliishia kwa kutoa wito wa kusitisha mapigano. tulimuuliza msikilizaji iwapo anaridhika na matokeo ya kikao hicho na  anadhani nini cha zaidi viongozi hawa wangefanya kukomesha mizozo barani Afrika