Habari Za Un
Mkunga nchini Tanzania atoa wito wa uwekezaji kwenye fani hiyo
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:07
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya wakunga, tunakwenda nchini Tanzania kummulika mkunga ambaye alinusuru maisha ya wajawazito wawili wakati wa mafuriko makubwa ya Novemba 2023 wilayani Hanang, mkoani Manyara, kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ikiwa ni ushuhuda wa majukumu mazito yanayokumba wakunga. Anold Kayanda na maelezo zaidi.