Changu Chako, Chako Changu
Historia kuhusu uteuzi wa papa Leo wa XIV, miaka 44 yangu kifo cha Bob Marley
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:20:15
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Makala ya changu chako chako changu inaangazia kuhusu uteuzi wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani, ambapo RFI Kiswahili imezungumza na askofu Sebastian Muyengo wa dayosisi ya Uvira mkoani Kivu kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, na katika utamaduni kabila la wabembe huko Fizi nchini DRC na katika muziki maadhimisho ya miaka 44 tangu kifo cha muasisi wa miondoko ya regae Bob Marley