Habari Za Un
Taasisi za kimataifa zimekuwa dhaifu - Volodymyr Zelenskyy
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:03:04
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema taasisi za kimataifa zimekuwa dhaifu wanachoweza kufanya ni kutoa matamko makali pekee na kwamba kwa sasa duniani sheria pekee za Kimataifa haziwezi kusaidia nchi kujilinda bila ya kuwa na silaha pamoja na marafiki wenye nguvu wa kukusaidia. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.