Habari Za Un
UNRWA: Hakuna popote na yeyote aliye salama Gaza ni zahma kila mahali
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:32
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Kamishina Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuwa “hakuna sehemu yoyote iliyo salama Gaza, na hakuna mtu aliye salama”akisema zahma na madhila yametanda kila kona ya eneo hilo linalokaliwa kimabavu na Israel. Flora Nducha na taarifa zaidi