Habari Rfi-ki
Tanzania : Chakera kuwa mpatanishi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:53
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Aliyekuwa rais wa Malawi , Lazarus Chakwera kuteuliwa na Jumuiya ya madola kuwa mpatanishi wa mzozo wa kisiasa nchini Tanzania, hasa baada machafuko ya kipindi cha uchaguzi. Tunakuuliza , unafikiri rais Chakwera atafanikiwa kusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini Tanzania.