Informações:
Sinopsis
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Episodios
-
Haiti : Je polisi wa Kenya watafulu kuzima vurugu kule Haiti
26/06/2024 Duración: 09minKenya imetuma polisi wake nchini Haiti kwenda kujaribu kudhibiti magenge ya wahalifu ambayo yametatiza usalama wa taifa hilo kwa kipindi kirefu. Polisi wa Kenya wanaenda Haiti licha ya mataifa kama Marekani kushindwa kurejesha amani nchini Haiti.Je Polisi wa Kenya watafaulu? ndilo swali tumekuuliza.Haya hapa baadhi ya maoni yako.
-
Burundi : Uhaba wa mafuta wazidi kutatiza shughuli za usafiri
25/06/2024 Duración: 09minKatika makala haya tunaangazia taifa la Burundi linalozidi kushuhudia uhaba mkubwa wa mafuta, hili likitatatiza shughuli za usafiri katika taifa hilo la Africa mashariki. Tumekuuliza unafikiri nini huwa chanzo cha ukosefu wa mafuta katika mataifa yetu? Haya hapa baadhi ya maoni yako.