Habari Rfi-ki

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 3:59:58
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Episodios

  • Tume ya uchaguzi nchini Kenya yazindua zoezi la uandikishaji wapiga kura

    30/09/2025 Duración: 10min

    Makala ya habari rafiki ya jumatatu septemba 29 2025 imeangazia hatua ya tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC kuzindua zoezi la kuwaandika wapiga kura ambalo limeonekana kuwavutia vijana wengi, maarufu kama Gen Z.Tumekuuliza msikilizaji je? unaona vijana wote wako tayari kujiandikisha na katika nchi yako vijana wanahamasishwa vipi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, kwa kutuma maoni ya sauti kupitia nambari yetu ya whatsApp: +254110000420 ama pia kupitia Facebook : RFI Kiswahili  

  • Kila Ijumaa unachangia chochote ndani ya rfi Kiswahili

    12/09/2025 Duración: 09min

    Kila Ijumaa rfi kiswahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote, iwe kila kinaendelea hapo ulipo au yale umeskia kwenye matangazo yetu. Skiza maoni ya juma hili

  • Ethiopia yazindua bwawa lake la kuzalisha umeme

    12/09/2025 Duración: 09min

    Je mataifa ya Africa yanatumia raslimali zake kujinufaisha? Skiza maoni ya wakilizaji

  • Kenya: Uporoja wa pesa za bima afya kizungu mkuti

    10/09/2025 Duración: 09min

    Shaba yetu inalenga Nchini Kenya, ambapo madai ya kupora kwa pesa za bima ya afya ya serikali yanaendelea kutatiza utowaji wa huduma ya afya hili likiwaathiri raia wa kawaida. Mskilizaji nchini mwako huduma za afya ni nafuu na bora, au bado wananchi wa kawaida wanahangaika kupata matibabu.   Skiza maoni ya waskilizaji wetu

página 2 de 2