Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 6 Mei 2025

Informações:

Sinopsis

Anthony Albanese ata anza muhula wake wa pili kama Waziri Mkuu akiwa na serikali ya wengi, baada ya ushindi mkubwa wa chama cha Labor, chama chake kilishinda viti 86 bungeni.