Jua Haki Zako
Kenya : Haki ya mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:14
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
katika makala haya mskilizaji tunazAma kuangazia uamuzi wa kihistoria uliofanywa hivi majuzi na Mahakama ya juu zaidi ya Kenya kuhusu haki za mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ya dini ya Kiislamu—hasa kuhusu haki ya kurithi mali ya baba yake. Uamuzi huu umetangazwa kuwa hatua muhimu katika mapambano ya kuhakikisha kila mtoto anaheshimiwa na kulindwa kikatiba bila kujali dini au mazingira ya kuzaliwa kwake. Kwa miongo mingi, baadhi ya watoto waliozaliwa nje ya ndoa, hasa katika jamii za Kiislamu, wamekuwa wakinyimwa haki ya kurithi mali ya baba zao moja kwa moja kwa mujibu tamaduni ya dini hiyo. Kufamu mengi skiza makala haya.